Eleza maana ya istilahi zifuatazo za fasihi simulizi

(i) Hurafa (al 2

(ii) Hekaya (al 2

(iii) Soga (al 2

(iv) Mighani (al 2

Fafanua kwa kina sifa sita kuu za mtambaji bora wa hadithi (al 12)

a)  Fafanua maana ya vitendawili (al 2)

b)  Eleza aina kuu za vitendawilli (al 6)

c)  Fafanua mbinu nne ambazo hutumika kuzua misimu (al 8)

d)  Taja njia ambazo jamii ya sasa inatumia kuhifadhi fasihi simulizi (al 4)

MAJIBU

Upgrade or Subscribe

Oops! Unlock More Access Rights:

If you find that you are not subscribed, consider upgrading your account or subscribing to the necessary plan to gain access.

RELATED SEARCHES